Episodes

Technology

Fashion

Recent Posts

HITAJI LANGU,SEHEMU YA 002.

10/06/2016 12:03:00 am Add Comment
HITAJI LANGU
Na: Fraidy Mtemah
Tel: 0716883222
SEHEMU YA 002.
Ilipoishia>>>>>>>>>

"Mwanangu hilo tumelisikia ila kwakuwa Mimi ni Baba Wa hii familia nakuomba rudisha mizigo ndani kisha nitalifanyia kazi hilo. Kama anahitaji kuondoka utaondoka ila tukiwa tumeridhika na sisi wazazi wako.
" sawa Baba ila naomba lichukulie uzito hilo" alisisitiza John
" nimekuelewa ndani ya siku mbili hizi utapata jibu na yatakuwa yameisha kabisa"
Walimaliza mazungumzo na Baba aliekekea kazini.
Inaendelea >>>>>>>>>

HITAJI LANGU,SEHEMU YA 001

10/05/2016 11:58:00 pm Add Comment
HITAJI LANGU
Na: Fraidy Mtemah
Tel: 0716883222
SEHEMU YA 001.
“whaaat……!!!, Zuuu……!!?” ni mshangao alioupata John ghafla baada ya kufungua mlango wake Wa chumbani akitokea bafuni huku taulo likiwa kiunoni na kumuona dada yake Zulpha amekaa kitandani kwake. Kutokana na heshima ya wawili wale ambayo ilithibitishwa kwa kuitana dada na kaka pia muda maana ilikuwa majira ya saa tano na dakika zake ya usiku, john aliona wazi amevunjiwa heshima hali iliyompelekea kuchukia ghafla bila kujua kuwa dada yake alikuwa na tatizo gani hadi akawa chumbani kwake na siyo mazoea yake.

MAANDALIZI BORA YA KUPATA MTOTO KWA WANANDOA

10/05/2016 10:32:00 am Add Comment
 MAANDALIZI BORA YA KUPATA MTOTO KWA WANANDOA
Na: Fraidy Mtemah.



maandalizi bora siku zote huleta kitu bora. harikadharika katika swala la kutafuta mtoto kwenye ndoa.