HITAJI LANGU
Na: Fraidy Mtemah
Tel: 0716883222
SEHEMU YA 002.
Ilipoishia>>>>>>>>>
"Mwanangu hilo tumelisikia ila kwakuwa Mimi ni Baba Wa hii familia nakuomba rudisha mizigo ndani kisha nitalifanyia kazi hilo. Kama anahitaji kuondoka utaondoka ila tukiwa tumeridhika na sisi wazazi wako.
" sawa Baba ila naomba lichukulie uzito hilo" alisisitiza John
" nimekuelewa ndani ya siku mbili hizi utapata jibu na yatakuwa yameisha kabisa"
Walimaliza mazungumzo na Baba aliekekea kazini.
Inaendelea >>>>>>>>>
Na: Fraidy Mtemah
Tel: 0716883222
SEHEMU YA 002.
Ilipoishia>>>>>>>>>
"Mwanangu hilo tumelisikia ila kwakuwa Mimi ni Baba Wa hii familia nakuomba rudisha mizigo ndani kisha nitalifanyia kazi hilo. Kama anahitaji kuondoka utaondoka ila tukiwa tumeridhika na sisi wazazi wako.
" sawa Baba ila naomba lichukulie uzito hilo" alisisitiza John
" nimekuelewa ndani ya siku mbili hizi utapata jibu na yatakuwa yameisha kabisa"
Walimaliza mazungumzo na Baba aliekekea kazini.
Inaendelea >>>>>>>>>